Header Ads Widget

Recent in Sports

test

BRELA YAWAFURAHISHA WAFANYA BIASHARA MAONESHO YA SITA YA MADINI GEITA

                                

Afisa wa Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni ( BRELA ) Vincent Nyanje ( kulia )  akimkabidhi cheti Cha usajili wa jina la Biashara Mkazi wa Mwanza Mhandisi Peter Mbawala ( kushoto ) katika Banda la BRELA kwenye Maonesho ya Sita ya Madini yanayoendelea katika Viwanja vya EPZA Halmashauri ya Mji wa Geita .


Afisa BRELA Anyelwisye  Mwakibinga  akimsainisha mteja wake  Mhandisi Peter Mbawala ( kulia ) mara baada ya kupokea cheti  Cha usajili wa jina la Biashara , kushoto ni Afisa Habari wa BRELA Christina Njovu wakiendelea kutoa huduma katika Maonyesho hayo Mjini Geita.


Mkuu wa Sehemu ya Majina ya Biashara BRELA Bw. Harvey Godwin Kombe ( kushoto) akizungumza na wateja wake waliotembelea banda la BRELA kufahamu huduma mbalimbali zitolewazo na BRELA katika Maonesho ya Sita ya Madini yanayoendelea kwenye viwanja vya EPZA Halmashauri ya Mji wa Geita

BRELA YAWAFURAHISHA WAFANYA BIASHARA MAONESHO YA SITA YA MADINI GEITA BRELA YAWAFURAHISHA WAFANYA BIASHARA MAONESHO YA SITA YA MADINI GEITA Reviewed by Adery Masta on September 29, 2023 Rating: 5

No comments:

Powered by Blogger.