Mkurugenzi wa Taasisi ya Uwezeshaji Wajasiriamali ya Open Mind and Thoughts Organization (OMTO), Anna Haule akitoa elimu ya vicoba endelevu kwa wanachama wa Kikundi cha Vicoba cha Wateule kilichopo Ulongoni wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 12 ya kikundi hicho jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi huyo alialikwa kuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Wateule Vicoba, Glory Munisi akitoa elimu kuhusu elimu ya fedha wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 12 ya kikundi hicho kilichopo Ulongoni jijini Dar es Salaam jana. Wateule Vicoba inajumla ya vikundi 7 chini ya ,Mkurugenzi huyo.
Mkurugenzi wa Taasisi ya Fahari Tuamke Maendeleo, Neema Mchau akizungumza wanachama wa Kikundi cha Vicoba cha Wateule kilichopo Ulongoni kuhusu masuala ya kuthamini familia pamoja na kuimarisa ndoa wakati wa hafla ya kuadhimisha miaka 12 ya kikundi hicho jijini Dar es Salaam jana.
Baadhi ya Wanachama wa Wateule Vicoba wakisikiliza kwa makini mada zinazotolewa katika maadhimisho hayo.

OMTO YAPELEKA FURSA YA VICOBA KWA WATEULE VICOBA
Reviewed by Adery Masta
on
November 18, 2023
Rating:
